Monday, April 18, 2011

KONGAMANO LA KUPAMBANA NA KUGHUSHI NYARAKA MWEZI UJAO

Kongamano la elimu ya kupambana na ughushi mbalimbali wa nyaraka na fedha haramu kupitia mtandao linatarajiwa kufanyika jijini hapa mwezi ujao.


Mwakilishi wa asasi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na upambanaji wa matukio hayo nchini, Solomon Njiamoja akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari leo. Mwingine ni Mkurugenzi wa kampuni ya D'Sullivan ya Nairobi, Kenya, Sosthenes Bichang'a.

No comments:

Post a Comment