Mkataba huo uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni 9 za kitanzania utasaidia ujenzi wa mradi huo utakaoanzia kwenye Kituo cha Ubungo mpaka Ras Kiromoni kwa bara ambapo utapita chini ya bahari na kuibukia Ras Fumba huko Zanzibar kabla ya kuishia kwenye kituo cha Mtoni mjini humo, ukiwa na urefu wa Kilomita 42.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa MCA-T, Bernard Mchomvu (kushoto) akibadilishana hati za mkataba huo na Makamu wa Rais wa Kalpa-Taru Power Transmission Ltd, Vilas Hiremani
No comments:
Post a Comment