Monday, April 18, 2011

MARAIS AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA KUJADILI UCHUMI WA AFRIKA

Marais watano wa nchi za Afrika Mashariki leo wamekutana kwa mara ya tisa kujadili maendeleo ya ukuaji wa uchumi kwa nchi zao, kwenye ukumbi wa mikutano Mlimani City, jijini Dar es Salaam leo.

Mkutano huo wa tisa wa uwekezaji barani Afrika umewakutanisha marais, Jakaya Kikwete wa Tanzania, Pierre Nkurunzinza wa Burundi, Mwai Kibaki wa Kenya, Yoweri Museveni wa Uganda, Dk Ali Mohamed Shein wa Zanzibar na Waziri Mkuu wa Rwanda, Bernard Mukuza.



Marais hao wakiwa kwenye mkutano huo

No comments:

Post a Comment