Monday, April 18, 2011

MAOFISA WA POLISI NA ELIMU YA KUPAMBAA NA UHALIFU

Programu ya mafunzo ya siku tatu kwa wakuu wa polisi na wilaya nchini katika kubaini, kuzuia na kudhibiti uhalifu kupitia mfumo wa ulinzi ushirikishi imefunguliwa jana mjini Dodoma na kushirikisha maofisa hao kutoka maeneo mbalimbali ya nchi



Baadhi ya maofisa hao wakifuatilia sehemu ya mafunzo hayo

No comments:

Post a Comment