Wednesday, August 26, 2009

KUTOKUSOMA VITABU KUNACHANGIA UMASIKINI

Wananchi wametakiwa kusoma vitabu zaidi ili kujikwamua na umasikini.

Mtunzi wa kitabu cha 'The Bleeding Heart and Other Poems', Shilia Kaaya ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa kitabu chake hicho, leo Dar es Salaam.

"Ukitaka kumficha jambo mwafrika, liweke kitabuni. Kama unasafiri safari ya mwendo mrefu, jitahidi usome angalau kitabu kimoja, mpaka unafika safari yako utakuwa mtu mwingine tofauti." Alisema Kaaya.

Kitabu cha 'The Bleeding Heart and Other Poems' kitaanza kusomwa na wanafunzi wa kidato cha tano na sita kote nchini baada ya kupitishwa na kamati ya wataalamu ya Wizara ya Elimu.


Mtunzi wa kitabu cha the bleeding heart... Bw. Kaaya


Kitabu cha the bleeding heart

No comments:

Post a Comment