Thursday, August 13, 2009

mbio za Ligi Kuu- Vodacom wamwaga vifaa vya michezo vilabuni...

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuanza kwa ligi kuu ya vodacom tanzania bara, Kampuni ya simu za mkononi Vodacomleo imemwaga vifaa vya michezo vya mabilioni ya shilingi kwa vilabu vinavyoshiriki ligi hiyo.


Lucas Kisasa ambaye ni katibu wa Yanga S.C akipokea vifaa vya michezo toka kwa naibu waziri wa habari, utamaduni na michezo, joel bendera leo katika hoteli ya giraffe jijini hapa...


Katibu wa Simba Mwina KAduguda naye akipokea vifaa hiyvo...


Hassan Mazala mwenyekiti wa African Lyon pamoja na Katibu wake, Jeshi Zakaria nao wakipokea vifaa hivyo toka kwa naibu waiziri wa habari, utamaduni na michezo, mh. joel bendera...

No comments:

Post a Comment