Thursday, August 6, 2009

Mambo ya Kibajaj haya hapa...

Duh... ukimuangalia jamaa kama anaendesha ki'bajaj' vile eeh! sasa kumbe, unataka kubisha. Hawa jamaa niliwakuta pale mtaa samora katikati ya jiji wakiburudisha wananchi. Lakini sio burebure tu... unadondosha 'kwenzi' au 'noti' kwenye kisahani burudani inaendelea... hebu wacheki hapa chini...


nanyonga kibajaj... nanyonga kibajaj eeh...

No comments:

Post a Comment