Wanachama hao wengi wao wametokea katika chama cha TLP, CUF na CHADEMA.
Wakizungumnza kwa nyakati tofauti mara baada ya kukabidhiwa kadi mpya za CCM, wanachama hao wamesema kuwa sababu ya kujiunmga na CCM ni kutokana na demokrasia iliyopo ndani ya chama hicho ambayo wamesema ni ya kweli ukilinganisha na vyama walivyokuwa awali.

sehemu ya wanachama 214 wapya wa CCM wakila kiapo baada ya kujiunga na chama hicho leo
'Ukitaka kujua utamu wa ngoma, ingia ucheze...
No comments:
Post a Comment