Friday, August 7, 2009

UNICEF YAIPA SHAVU TANZANIA

Tanzania imetajwa kuwa ni nchi pekee barani Afrika inayosimamia na kulinda haki za watoto wenye mahitaji mbalimbali.

Mjumbe wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF)Ghana, Dk Agnes Aidoo amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa leo, mchana.

Amesema hiyo imetokana na kuundwa kwa Sheria Mpya ya Watoto inayosisitiza kuwalinda dhidi ya vitendo vya unyanyasaji na ukatili ambayo inatarajiwa kujadiliwa na wadau mbalimbali ili iweze kupitishwa Bungeni mapema mwaka huu.


Makamu Mwenyekiti wa Kamati za kutetea Haki ya Mtoto (CRC) toka nchini Ghana, Dk. Agnes Aisoo


Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Margaret Sitta

No comments:

Post a Comment