Monday, March 29, 2010

30 WAUAWA KWA MABOMU YA KUJITOA MUHANGA MOSCOW

Watu 37 wamekufa na wengine kujeruhiwa baada ya wanawake wawili kujitoa muhanga.

Mamlaka za Urusi zimesema kuwa majeshi ya nchi hiyo kaskaini mwa Caucasus yalikuwa yakiendesha mapigano na majeshi ya uasi.

Rais wa Urusi, Dmitri Medvedev ametoa salamu za rambirambi na kusema kuwa nchi yake itapigana na magaidi pasipo kusita mpaka kieleweke.

"I will fight terrorism without hesitation and to the end"


No comments:

Post a Comment