Monday, March 29, 2010

SIR ERIKSSON BOSI MPYA IVORY COAST

Bosi wa zamani wa timu ya Taifa ya England, Sven Goran Eriksson ataanza kuonekana katika michuano ya Kombe la Dunia msimu huu akiwa na timu ya taifa ya Ivory Coast.




Sven Goran Eriksson

No comments:

Post a Comment