Wednesday, March 31, 2010

TATIANA KUFANYA BIRTHDAY PARTY YAKE JIJINI

Aliyekuwa mwakilishi wa Shindano la Big Brother Africa-2, Tatiana Durao raia wa Angola, anatarajia kuangusha boonge la party jijini hapa Aprili 8.

Tatiana ambaye umaarufu wake umekuja baada ya muda mwingi kuonekana kuwa karibu sana na mshiriki toka Tanzania, Richard Bezuidenhot 'Richie' katika shindano hilo mpaka wengi kuvuta hisia kuwa wana uhusiano wa kimapenzi, alikuwa akifanya mazungumzo na wandishi wa habari leo jijini.

Amesema baada ya party yake hiyo atasafiri kwenda visiwa vya Zanzibar


Tatiana

No comments:

Post a Comment