Monday, March 15, 2010

HUU NI UCHIZI AU KUJIENDEKEZA?



Mkazi huyu wa jijini hapa amekutwa na blog hii akikoga maji machafu yanayotoa harufu kali, eneo la Tandika Transfoma jana jioni. Haikufahamika mara moja kama jamaa huyu ni mgonjwa wa akili ama anajiendekeza tu.

Lakini sidhani kama mgonjwa wa akili hukumbuka hata kukoga maji.

Kwa mpango huo basi, hii ni hatari kwa afya yake jamaa huyu.

No comments:

Post a Comment