Wednesday, March 31, 2010

KAMPENI ZAANZA RASMI: BATISTA ATANGAZA KUMN'GOA CHAMI JIMBO LA MOSHI VIJINI

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Moshi, Batista Kiteve ametangaza nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Moshi Vijijini katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Batista alitangaza azma yake hiyo leo jijini hapa alipofanya mkutano na waandishi wa habari. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Cyril Chami.


BATISTA

No comments:

Post a Comment