Tuesday, March 30, 2010

MKUTANO MKUBWA WA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI KUFANYIKA MEI 3 NA 4


Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Kuboresha Mazingira ya Uwekezaji Afrika (ICF), Omari Issa (wa pili kushoto) akisisitiza jambo katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) jana Dar es Salaam kuhusu kufanyika kwa mkutano mkubwa wa Mazingira ya Uwekezaji unaotarajiwa kufanyika Mei 3 na 4 mwaka huu. Wengine kutoka kulia ni Mkurugenzi wa tathmini na usimamizi wa mradi, Chimere Diop, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa mfuko huo, Emilienne Macauley na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Mradi, Martin Schubert.

No comments:

Post a Comment