Tuesday, March 30, 2010

MPANGO MPYA WA UZAZI WA MPANGO WAZINDULIWA LEO


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Prof. David Mwakyusa akikata utepe kuzindua rasimu ya mpango wa taifa uliokasimiwa kwa uzazi wa mpango (NFPCIP) leo jijini hapa


Mrisho Mpoto na waimbaji wa Mjomba band wakilishambulia jukwaa wakati wa uzinduzi huo

No comments:

Post a Comment