
Mkazi wa jijini eneo la Mbagala akijaribu kujinasua katika dimbwi la maji baada ya kuzama kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha

Magari yakipita kandokando ya mtaro uliomong'onyoka na kusababisha kuharibika kwa kipande cha barabara ya Kilwa, eneo la Mbagala Kizuiani leo kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha

Wakazi wa eneo la Mbagala rangi tatu wakipita kwa shida katika moja ya dimbwi lililojaa maji machafu kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jijini hapa
No comments:
Post a Comment