Friday, April 10, 2009

Meli ya Mv. Seagull mwendo mdundo

Wiki mbili baada ya Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu Tanzania (SUMATRA) kusitisha safari za Meli ya Mv. Seagull baada ya kugonga gati la bandari ya bongo, meli hiyo sasa imerejea ulingoni ikiwa na nguvu mpya, ari mpya na kasi mpya baada ya kufanyiwa matengenezo ya kufa mtu.

Kwa mujibu wa mdodosaji wa PONSOR aliyezuru eneo hilo la bandari muhimu ya Da'slam amesema aliiona meli hiyo ikila vichwa (abira) kama kawaida huku sehemu ya mbele iliyokuwa imebonyea ikiwa ipo shwari.

No comments:

Post a Comment