Wednesday, April 29, 2009

MILIPUKO YA MABOMU KATIKA PICHA


Muuguzi wa hospitali ya Temeke akiwa amembeba mmoja wa majeruhi wa milipuko ya mabomu


Mabaki ya bomu likiwa limetua katika matofali pembezoni mwa nyumba


Wakazi wa Mbagala wakiyahama makazi yao kwa muda baada ya milipuko ya mabomu


Majeruhi wa milipuko ya mabomu wakipatiwa huduma ya kwanza katika hospitali ya Temeke


Askari wa JWTZ akiwa amebeba moja ya mabaki ya milipuko ya mabomu

No comments:

Post a Comment