Monday, April 27, 2009

Kabuye aagwa

Mwili wa aliyekuwa mbunge machachari katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Phares Kabuye umeagwa rasmi leo katika hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam tayari kwa kusafirishwa kuelekea jimboni kwake, Biharamulo kwa mazishi.

Marehemu Kabuye alifariki juzi kwa ajali ya Basi la Kampuni ya RS wilayani Kilosa, Morogoro na anatarajiwa kuzikwa kesho jimboni kwake.


Baadhi ya waombolezaji na wanachama wa chama cha Tanzania Labour (TLP), wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Phares Kabuye, Dar es Salaam leo

No comments:

Post a Comment