Marehemu Kabuye alifariki juzi kwa ajali ya Basi la Kampuni ya RS wilayani Kilosa, Morogoro na anatarajiwa kuzikwa kesho jimboni kwake.

Baadhi ya waombolezaji na wanachama wa chama cha Tanzania Labour (TLP), wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Phares Kabuye, Dar es Salaam leo
No comments:
Post a Comment