Sponsor ilifika eneo la tukio na kukuta maelfu ya wanachama hao wakiwa wameizunguka ofisi ya DECI huku wakisukumana kwa ajili ya kuingia ndani kufukua mbegu zao hizo. Hali haikuwa ya kuridhisha kwani msongamano huo ungeweza kuleta maafa kutokana na kila mmoja wao kutaka kuwa wa kwanza kungia kurudishiwa mbegu zake.

No comments:
Post a Comment