Thursday, April 2, 2009

Tanzania yapata wataalamu wa Upasuaji Ubongo

Tanzania na Madaktari wa Afrika leo zimetiliana saini mkataba wa mpango endelevu wa upasuaji wa ubongo pamoja na uti wa mgongo. Akizungumza baada ya utilianaji saini mkataba huo, Katibu Mkuu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Bi. Blandina Nyoni amesema kuwa madaktari hao watasaidia kupunguza tatizo la uhaba wa madaktari wa fani hiyo.

No comments:

Post a Comment