Monday, May 18, 2009

'HAPA DIPO ANGUKIA BOMU'


MKAZI wa Mbagala Misheni, mwenye asili ya ki'asia' pamoja na 'dog' wake akiangalia shimo ambamo kuliangukia moja kati ya mabomu yaliyolipuka wiki 3 zilizopita katika kambi ya Jeshi ya Mbagala. Askari wa Jeshi walifika hapo leo kulichomoa bomu hilo ambalo lilikaa hapo kwa zaidi ya wiki 3 pasio kugundulika. Kwa mujibu wa mama huyo amesema bomu hilo lilikuwa na takriban urefu wa meta 3.

No comments:

Post a Comment