Tuesday, May 19, 2009

MA 'DC' WAPIGWA MSASA

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Aggrey Mwanri amewataka wakuu wa Wilaya zote nchini kushirikiana katika kazi zao kwa manufaa ya nchi pamoja na wananchi wake kwa ujumla.

Mwanri alisema hayo wakati wa kikao cha kazi na Wakuu wa Wilaya zote Tanzania Bara kilichofanyika leo Dar es Salaam.


Wakuu wa Wilaya za Kilindi na Kondoa, Halima Mchuka na Betty Mkwasa wakisikiliza kwa makini wakati wa kikao cha pamoja cha wakuu wa wilaya zote Tanzania Bara leo, jijini hapa.

No comments:

Post a Comment