Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume hiyo Rajabu Kiravu, uteuzi wa wagombea utaanza tarehe 9 mwezi Juni siku moja kabla ya Kampeni za Uchaguzi ambazo zitafanyika tarehe 10 mpaka 4 mwezi Julai, wakati shughuli za upiaji kura zitafanyika siku moja baa ya kumalizika kwa kampeni.

Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC, Rajab Kiravu
No comments:
Post a Comment