Thursday, May 21, 2009

MAMIA WAMPOKEA DK MWAKYEMBE



Umati wa ndugu, jamaa na marafiki wa Mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe wakitoa machela iliyombeba Mbunge huyo kutoka ndani ya Ndege baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege Mwalimu Julius Nyerere, kabla ya kupelekwa hospitali kwa matibabu zaidi. Dk Mwakyembe alipata ajali ya gari huko Iringa asubuhi ya leo na kuthibitika kuvunjika taya.

No comments:

Post a Comment