Monday, May 4, 2009

TSN Tanga yafunguliwa rasmi

Kampuni ya Uchapishaji Magazeti ya Serikali (Dailynews na HabariLEO), leo imefungua rasmi ofisi yake tawi la Tanga ikiwa ni moja ya malengo ya kampuni hiyo kuwafikia watu wengi zaidi.


Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Joel Bendera akifungua rasmi ofisi za TSN, tawi la Tanga leo jijini humo

No comments:

Post a Comment