Monday, May 4, 2009

Zantel wazindua ZConnect

Kampuni ya simu za mkononi, Zantel leo imezindua huduma ya mtandao kwa wateja wa malipo ya kabla ambayo itaanza kupatikana nchi nzima.

Mkurugenzi wa Biashara wa Zantel, Fintan Lawler amesema huduma hiyo mpya ya mtandao itaiweka Zantel katika nafasi ya mtoa huduma za kiwango cha juu nchini.

ZConnect ni huduma ya mtandao, data na sauti na watumiaji watapata huduma ya mtandao ya uhakika na kasi.


Meneja Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya simu za mkononi Zantel, Brian Karokola

No comments:

Post a Comment