Wednesday, May 6, 2009

Mamia waupokea mwili wa Kiduduye wa redio Uhuru

Mamia ya wakazi wa jijini pamoja na wafanyakazi wa kituo cha utangazaji cha redio uhuru wamefurika katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kupokea mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa kituo hicho, Deogratius Kiduduye ambaye alifariki nchini Nigeria mwishoni mwa wiki.

Dada wa marehemu pamoja na wafanyakazi wa kituo cha Redio Uhuru wakilia kwa uchungu baada ya kupokea mwili wa marehemu, Deogratius Kiduduye

No comments:

Post a Comment