Thursday, October 1, 2009

BAYPORT YAGAWA JEZI MAMBO YA NDANI


Meneja Masoko wa Kampuni ya Bayport, Ngula Cheyo (kulia) akikabidhi jezi kwa Ofisa Utumishi anayeshughulikia Michezo, Wizara ya Mamabo ya Ndani ya Nchi, Felister Shuli, kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya klabu ya soka ya wizara hiyo, Dar es Salaam jana. Katikati ni Mwenyekiti wa Michezo wa wizara, Staford Busumbiro.

No comments:

Post a Comment