Wednesday, October 28, 2009

Shein afungua Kongamano la Vyuo Vikuu Afrika Mashariki


Makamu wa Rais, Ali Mohammed Shein (wapili kulia), Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Juma Bakari Mwapachu (kulia) na Maprofesa wengine kutoka nchi za Afrika Mashariki wakifuatilia jambo wakati wa ufunguzi wa Kongamano Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki linalojadili juu ya uwekaji mikakati ya maendeleo na usimamizi wa Elimu ya Juu katika ukanda wa Afrika

No comments:

Post a Comment