Tuesday, October 27, 2009

TASWIRA KATIKA JIJI...


Haya si mapambo bali ni matambara ambayo yananing'inia katika uzio wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Dar es Salaam na kuleta taswira mbaya kwa wageni na wapitao kwa miguu.

Matambara haya ni mabango ambayo muda wake umeshakwisha lakini yameachwa hapa na hatimaye kuraruka na kupeperuka ovyo mithili ya bendera za nchi gani sijui... Haipendezi hata kidogo... Meseji sent!

No comments:

Post a Comment