Wednesday, October 28, 2009

FM Academia Kuipua Albamu mpya ya 'Vuta Nikuvute'

Bendi ya Muziki wa Dansi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' wanatarajia kuzindua albamu yao mpya ya saba itakayokuwa ikiitwa 'Vuta Nikuvute' siku ya Ijumaa, katika ukumbi wa Heineken, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment