Wednesday, October 21, 2009

JK AWAAPISHA ALIOWATEUA LEO IKULU


Rais Jakaya Kikwete (mbele katikati), Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohammed Shein (kushoto) pamoja na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi walioapa jana. Kutoka kushoto Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo, Sethi Kamuhanda, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Sazi Salula, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema, Katibu wa Rais, Prosper Mbena na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Christopher Sayi. Waliosimama nyuma ni Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Peniel Lyimo.

No comments:

Post a Comment