Wednesday, October 21, 2009

RITA WAZINDUA CHETI KIPYA CHA KUZALIWA

Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA), leo imezindua cheti kipya cha kuzaliwa chenye alama za usalama. Cheti hicho ambacho ni vigumu kughushi kimezinduliwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe, jijini Dar es Salaam leo.


Waziri wa Katiba na Sheria, MAthias Chikawe (kushoto)pamoja na Kaimu Mtendaji Mkuu wa RITA, Phillip Saliboko wakibeba mfano wa cheti hicho kipya baada ya kuzinduliwa rasmi leo jijini.

No comments:

Post a Comment