Thursday, October 1, 2009

KWA WASOMAJI WA BLOGU HII

Ni muda mrefu sasa blogu yenu muipendayo ya Sponsor haikuwa 'updated' kutokana na sababu za kiufundi zinazoendelea kufanyiwa kazi na mtaalamu wa blogu hii.

Hivyo nachukua fursa hii kuwaomba radhi wasomaji wangu kutokana na usumbufu wowote unaoendelea kujitokeza, lengo ni kuboresha blogu hii ya Sponsor, ili wewe msomaji uweze kufaidika na habari motomoto.

Ahsanteni.

Akida. F. S
Managing Editor,
Sponsor.blogspot.com

No comments:

Post a Comment