Saturday, October 31, 2009

Wadau walivyo'graduate' leo...


Wadau wa TSN (kutoka kushoto) Jamila Kilahama, Stella Nyemenohi na Maulid Ahmed wakitabasamu baada ya kutunukiwa shahada zao leo katika mahafali ya 21 ya chuo kikuu huria Tanzania, yaliyofanyika Kibaha mkoani Pwani..

No comments:

Post a Comment