Tuesday, October 27, 2009

Swissport wapigwa msasa

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Swissport Tanzania Ltd, waliokuwa wamehudhuria mafunzo ya wiki moja ya Uhakiki wa Uzito waNdege na Mizania, leo wamekabidhiwa vyeti vyao baada ya kumaliza mafunzo hayo.


Baadhi ya wahitimu wa mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kampuni za Swissport, Mozambique Airlines na Fast Track baada ya kukabidhiwa vyeti vyao leo

No comments:

Post a Comment