Thursday, October 15, 2009

Wabunge wachafu kuanza kushughulikiwa

Kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM inatarajia kuanza kazi ya kuwachunguza wabunge wenye mienendo isiyofaa katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Katibu wa Kamati hiyo, Pius Msekwa amewaambia waandishi wa habari leo asubuhi wakati wa mkutano na wadau hao wa nyuzi, nyumbani kwa Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.

No comments:

Post a Comment