Thursday, October 1, 2009

KUMEKUCHA SERIKALI ZA MITAA


Wagombea wa nafasi za ujumbe wa serikali ya mtaa wa Kilakala, Yombo, Dar es Salaam wakipunga mikono walipowasili katika ofisi ya serikali ya mtaa kwa ajili ya kuchukua fomu, mapema leo asubuhi. Wa pili kulia ni shangazi yake mimi, Mariam Akida.

Shangazi yake mimi, Mariam Akida akikabidhiwa fomu ya ugombea nafasi ya ujumbe toka kwa ofisa mtendaji wa mtaa wa Kilakala.

No comments:

Post a Comment