Vifaa hivyo vyenye thamani ya shs milioni 6.8 ni pamoja na viatu vya mpira seti 2, jezi za netball 14, track suits jozi 44, jezi za mchezo wa riadha jozi 6, mipira ya miguu 10 na mipira ya pete 5.

Ofisa uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi vifaa hivyo kwa Kamishna Uhamiaji anayeshughulikia Sheria, Wizara ya Uhamiaji na Mambo ya Ndani, Magnus Ulingi
No comments:
Post a Comment