Mlipuko huo ambao umetokea katika Bazaar ya Meena umejeruhi zaidi ya watu 200, kwa mujibu wa Waziri wa Habari wa Jimbo la kaskazini Magharibi.
Inasemekana mlipuko huo utakuwa ni miongoni mwa milipuko mikubwa zaidi kutokea katika jimbo hilo likihusisha vifo zaidi vya kina mama.

No comments:
Post a Comment