Monday, August 9, 2010

DK. SLAA AKABIDHIWA MIKOBA YA URAIS, ATANGAZA VITA NA CCM



Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Wilbrod Slaa leo amekabidhiwa rasmi fomu ya kugombea nafasi hiyo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Dk Slaa baada ya kukabidhiwa fomu hizo akiwa na Mgombea Mwenza, Said Mzee Said, amesema kuwa sasa CCM wakae chonjo kwa maana chama chake kimejizatiti kuchukua Madaraka ya nafasi hiyo nyeti kutokana na maandalizi makubwa iliyoyafanya kipindi hiki ukilinaganisha na chaguzi mbalimbali zilizopita.

No comments:

Post a Comment