Friday, August 13, 2010

MBIO ZA MWENGE TURIANI, MOROGORO



Mfanyabiashara wa mjini Turiani, Wilayani Mvomero, George Kiluwa (katikati) akipokea kiasi cha sh milioni 15 alizokopeshwa na Chama cha Akiba na Mikipo Tursaccos cha Turiani, kutoka kwa Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa, Dk Nassoro Ally Matuzya (kulia) katika halfa ya kupitiwa na Mwenge wa Uhuru, mwishoni mwa wiki mjini humo. Picha: John Nditi

No comments:

Post a Comment