Wednesday, August 25, 2010

MADEREVA WAZEMBE SASA KUDHIBITIWA NA TEKNOHAMA



Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Said Mwema akionyesha mfano wa leseni mpya zilizo kwenye mfumo wa Teknohama zinazotarajiwa kutumiwa na madereva nchini, wakati akifungua semina ya siku mbili kwa Makamanda wa Mikoa na Makamanda wa vikosi vya usalama barabarani na watendaji wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kuhusu mchakato wa namna ya utoaji wa leseni hizo mpya, Dar es Salaam leo. PICHA: Hassan Mndeme wa Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment