Wednesday, August 25, 2010

JK, DK BILAL WACHANJA MBUGA KWA KASI

Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mgombea Mwenza, Dk. Gharib Bilal wanazidi kuchanja mbuga kwenye kampeni zao za kuomba kura.

Rais Kikwete yeye leo alikuwa Bukoba mjini mkoa wa Kagera akiomba kura wakati Dk. Bilal yeye yupo mkoani Lindi akisaka kura hizo.


Pichani: Rais Jakaya Kikwete akiwa Bukoba mjini leo


Pichani: Dk Gharib Bilal akisalimiana na wakazi wa kijiji cha Mkwajuni, Lindi Vijijini.


Pichani: Wakazi wa Kijiji cha Kilangala wakisikiliza jambo

No comments:

Post a Comment