Rais Kikwete yeye leo alikuwa Bukoba mjini mkoa wa Kagera akiomba kura wakati Dk. Bilal yeye yupo mkoani Lindi akisaka kura hizo.
Pichani: Rais Jakaya Kikwete akiwa Bukoba mjini leo

Pichani: Dk Gharib Bilal akisalimiana na wakazi wa kijiji cha Mkwajuni, Lindi Vijijini.

Pichani: Wakazi wa Kijiji cha Kilangala wakisikiliza jambo
No comments:
Post a Comment