Friday, August 6, 2010

WAZIRI LI DONGDONG WA CHINA ATEMBELEA TSN



Naibu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya TSN inayochapisha magazeti ya Serikali ya Daily News na Habari Leo, Mkumbwa Ally (kushoto) akimtembeza mgeni wake, Naibu Waziri wa Uchapishaji na Habari wa China, Bi. Li Dongdong kuangalia shughuli za uzalishaji wa magazeti hayo ndani ya ofisi za Kampuni hiyo zilizopo Mtaa wa Samora, Dar es Salaam leo asubuhi. [Picha: kwa hisani ya Yusuf Badi wa TSN]

No comments:

Post a Comment