Friday, August 13, 2010

FUTARI YA MFUNGO WA RAMADHAN..



Waumini wa kiislamu wa Msikiti wa Al- Islaamiya, Mabibo, Dar es Salaam wakifuturu kama walivyokutwa jana kwenye msikiti huo. Waumini wa dini hiyo nchini na duniani wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao ni moja kati ya nguzo tano za dini hiyo. Picha: Sponsor

No comments:

Post a Comment