Friday, August 13, 2010

JK AFUNGUA KIKAO CHA NEC (CCM) LEO



Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete, akifungua rasmi kikao cha kamati kuu ya CCM Taifa kilichokutana jana katika ukumbi wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Makao Makuu mjini Dodoma. Picha: Amour Nassor, Ikulu Zanzibar

No comments:

Post a Comment