Wednesday, August 25, 2010

MABADILIKO YA TABIANCHI YAZIDI KULETA ATHARI DUNIANI

Wanaharakati wa masuala ya Mazingira duniani wanaendelea na kampeni yao ya utunzaji wa mazingira ili kuiepusha sayari hii tunayoishi kuathiriwa zaidi na mabadiliko ya tabianchi.



Lakini hilo linatatizwa na kuongezeka kwa shughuli za kila siku za binadamu zinazochangia kuongezeka kwa athari hizi uniani. Shughuli hizi kama viwanda, ukataji miti na uchomaji misitu na nyinginezo ni sehemu tu ya zinazochangia kupoteza taswira sura ya dunia.

No comments:

Post a Comment