
Lakini hilo linatatizwa na kuongezeka kwa shughuli za kila siku za binadamu zinazochangia kuongezeka kwa athari hizi uniani. Shughuli hizi kama viwanda, ukataji miti na uchomaji misitu na nyinginezo ni sehemu tu ya zinazochangia kupoteza taswira sura ya dunia.

No comments:
Post a Comment